Standard (EADGBE)

Verse 1

Nilikuwa natafuta ukweli wa maisha yangu

Sasa mie nauliza nianze wapi eeeh

Maumivu machozi mengi yameniumiza aheeheee

Jehovah nahisi nalia nihurumie nipeee

Chorus

Uwezoo Uwezooo

Wa kusimama imara juu ya neno lako eeh

Uwezoo Uwezooo

Wa kusimama imara juu ya neno lako eeh