Standard (EADGBE)

Baraka za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Baraka za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Zaweza kwenda juu, zaweza kwenda chini

Zaweza kwenda mbele, zaweza rudi nyuma

Upande, Upande kwa mataifa yote

Upande, Upande kwa mataifa yote

Rehema za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Rehema za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Zaweza kwenda juu, zaweza kwenda chini

Zaweza kwenda mbele, zaweza rudi nyuma

Upande, Upande kwa mataifa yote

Upande, Upande kwa mataifa yote

Huruma za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Huruma za Mungu kweli ni za, ni za ajabu

Zaweza kwenda juu, zaweza kwenda chini

Zaweza kwenda mbele, zaweza rudi nyuma

Upande, Upande kwa mataifa yote

Upande, Upande kwa mataifa yote